Picha ya Lulu Diva na mama yake mzazi enzi za uhai wake
"Mwili utapita nyumbani kwa Lulu Diva, Mbezi Beach kwa Mwamunyange mbele ya kota za police mpya, saa 7 mpaka 9 mchana kwa ajili ya dua".
"Baada ya Dua tutaanza safari ya kuelekea Tanga - Muheza- Mafele ifikapo saa 10 jioni, na mazishi yatafanyika kesho saa saba mchana huko huko Tanga- Mafele wilaya ya Muheza".