Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kutafuta ushindi wa kwanza Tanga, tangu 2015

Sunday , 16th Jan , 2022

Timu ya Wananchi Yanga SC inakibarua cha kuvunja mwiko wa kutopata ushindi katika uwanja wa Mkwakwani uwanja wa nyumbani wa Coastal Union ya Tanga. Mara ya mwisho Yanga kushinda Tanga dhidi ya Coastal kwenye ligi ilikuwa mwaka 2015.

Kikosi cha Yanga

Katika muendelezo wa raundi ya 12 ya Ligi Kuu soka Tanzania bara leo moja ya mchezo ni Coastal Union dhidi ya Yanga mchezo unaochezwa katika dimba la Mkwakwani. Ni takribani miaka 6 imepita tangu Yanga ilipopata ushindi katika uwanja huo.

Mara ya mwisho Yanga kushinda Tanga ilikuwa Februari 3, 2015 ambapo waliibuka na ushindi wa bao 1-0. Na katika michezo 4 ya Ligi ya mwisho katika dimba la Mkwakwani Yanga imefungwa mara mbili na wametoka sare mara mbili, na Msimu uliopita katika Dimba hilo Yanga ilifungwa mabao 2-1. 

Mchezo wa leo unachezwa Saa 10 Jioni, Yanga ndio vinara wa Ligi wakiwa na alama 29 na hawajapoteza mchezo hata mmoja katika michezo 11. Na wanaingia katika mchezo huu wakiwa wanawazidi Coastal Union alama 12, Coastal wapo nafasi ya 4 wakiwa na alama 12.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi