Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mapenzi chanzo cha mauaji ya Barke aliyeuawa guest

Tuesday , 25th Jan , 2022

Jeshi la Polisi Kanda Malum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya mwanamke aitwaye Barke Rashid, aliyeuawa Januari Mosi, 2022, akiwa guest maeneo ya Tabata, ambapo mmoja amekiri kutekeleza unyama huo baada ya kuahidiwa kiasi cha shilingi milioni 1.7.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, kulia ni Barke Rashid aliyeuawa

Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 27, 2022, na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo Jumanne Muliro, na kusema chanzo cha mauaji hayo ni kwamba watuhumiwa waliokamatwa mmoja wao alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu na kwamba licha ya kumhudumia bado hakuridhika na aliendelea na mahusiano na wanaume wengine.

"Chanzo cha mauaji haya kwa mujibu wa uchunguzi wa awali inadaiwa mtuhumiwa Charles Gregory au White, alikuwa ni mpenzi wa marehemu na alikuwa anadai amemgharamia sana ikiwa ni pamoja na kumpangishia nyumba na kudai marehemu alikuwa na mahusiano na wanaume wengine," amesema Kamanda Muliro.

Aidha Kamanda Muliro ameongeza kuwa uchunguzi wa kina juu ya tukio hilo bado unaendelea na watuhumiuwa watafikishwa mahakamani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala