Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 76 wanasurika kifo Pwani

Monday , 16th May , 2022

Wanafunzi 76 katika shule ya sekondari ya wasichana Mkuza iliyopo Kibaha mkoani Pwani, inayomilikiwa na kanisa la KKKT wamenusurika kupoteza maisha baada ya moja ya bweni la shuleni hapo kuteketea kwa moto uliozuka usiku wa kuamkia leo Mei 16, 2022, wakati wanafunzi hao wakiwa katika ibada

Bweni la shule ya sekondari ya wasichana Mkuza lililoungua

Akielezea mazingira ya ajali hiyo mara baada ya kufika katika eneo la tukio hilo, Mkuu wa mkoa wa Pwani Alhaj Aboubakar Kunenge, amesema wakati ajali hyo inatokea kulikuwa na mwanafunzi mmoja ndani ya bweni ambaye hakuungana na wenzake kwenda kwenye ibada kutokana na kukabiliwa na maradhi lakini aliokolewa na hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.

Nao uongozi wa shule hiyo ukiongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Dkt. Alex Malasusa, ameishukuru serikali, Jeshi la Zimamoto pamoja na wananchi kwa ushirikiano walioutoa na kufanikisha wanazima moto huo ili kuondoa madhara makubwa ambayo yangeweza kujitokeza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala