Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ataka mgao wa mali za Hayati Kibaki

Friday , 20th May , 2022

Mwanamume mmoja nchini Kenya Jacob Ochola ameibuka na kudai mgao wa mali za aliyekuwa Rais wa tatu wa Kenya Mwai Kibaki akieleza kuwa yeye ni mtoto wa kwanza wa Kibaki.

Jacob Ochola

Ochola anadai kuwa akiwa na miaka 21 alifahamishwa kuwa Kibaki ni baba yake na wakaanza kuwa na mahusiano mazuri

Anasema mama yake aliolewa akiwa mtoto mdogo na ndio maana jina lake la ukoo linatoka katika jamii ya Wajaluo. 

Katika mahojiano na chombo kimoja cha habari nchini Kenya Ochola anasema baada ya kifo cha baba yake mlezi, ndipo mama yake alimfahamisha kuwa marehemu si baba yake mzazi.

"Nilizaliwa Julai 22, 1960, Kaloleni, Nairobi. Nilikua nikijua mimi ni Mluo. Nilikuja kujua kwamba sikuwa Mjaluo nilipofikisha miaka 21. Mwaka mmoja baada ya mtu niliyemfahamu kuwa ni baba yangu kufariki, mama yangu alinieleza kuwa aliyefariki si baba yangu mzazi, aliniambia pia anaenda kuongea na baba yangu kwa sababu anataka kuniona alifanya hivyo baada ya mwezi mmoja hivi. Huu ndio wakati nilipata fursa ya kukutana na rais wa zamani," amenukuliwa Ochola 

Aidha ameeleza kuwa wakati Mwai Kibaki akiwa hai alikuwa akimtembelea mara kadhaa kwa siri katika hoteli moja nchini Kenya na kuonana naye

Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa na upande wa familia ya Rais huyo wa zamani wa Kenya kuhusu mtu huyo 

Vyanzo vya habari nchini Kenya vinadai mali za kiongozi huyo zina  thamani ya KSh150 bilioni ambapo mwanaume huyo anasema anahitaji kujumuishwa katika mgao wa mali hizo

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma