Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jose Mourinho ashinda kombe la 5, Ulaya

Thursday , 26th May , 2022

Jose Mourinho ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza barani ulaya kushinda makombe 3 tofauti ya vilabu barani ulaya baada ya kukiongoza kikosi cha AS Roma kutwaa ubingwa wa michuano ya Europe Conference League jana usiku.

Jose Mourinho akibusu kombe la Conference League

AS Roma chini ya Jose Mourinho wametwaa ubingwa wa Connference na kombe lao la kwanza kwenye michuano ya vilabu Ulaya kwa kuinyuka Feyenoord ya Uholanza kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa fainali, bao pekee la mchezo huo limefungwa na Nicolo Zaniolo dakika ya 32.

Ubingwa huu umemfanya Mourinho kufikisha idadi ya makombe 5 ya vilabu barani ulaya aliyoshinda kama kocha. ameshinda ubingwa wa Klabu Bingwa (Uefa Champions League) mara 2 akiwa na FC Porto mwaka 2004, na Inter Milan 2010, pia ameshinda ubingwa wa Michuano ya UEFA Europa League mara mbili akiwa na FC Porto mwaka 2003 na 2017 akiwa na Manchester United. Hivyo ubingwa wa usiku wa jana ni wa 5 katika michuano 3 tofauti.

Mourinho pia hajapoteza mchezo hata mmoja wa fainali aliocheza kwenye michuano ya vilabu barani Ulaya katika fainali zote 5 alizocheza ameshinda zote. Na kombe hili ni la 26 kwa kocha huyo raia wa Ureno katika miaka yake 19 ya ukocha. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma