
Picha ya Poshy Queen na aliyekuwa Mume wake
"Kwenye mahusiano hamuwezi kwenda sawa kila siku, sisi hatuku-date muda mrefu kwa sababu tulioana mapema, labda hatukujuana hatukukaa pamoja na vitu vingine vya kawaida" amesema Poshy Queen
Zaidi tazama hapa kwenye video.