Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampuni ya SBL kuunga mkono ukuzaji Kilimo

Monday , 6th Jun , 2022

Kampuni ya Bia ya Serengeti imesema itaendelea kuchangia jitihada mbali mbali zenye lengo la kukuza sekta ya Kilimo na kuongeza tija kwa wakuima wa ndani.

Akiongea wakati wa kukabidhi vyeti kwa wanafunzi 27 wa Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, ambao wamepata udhamini wa masomo kupitia programu ya Kilimo Viwanda mkurugenzi wa mahusiano kwa umma wa kampuni hiyo John Wanyancha alisema SBL inatambua umuhimu wa Kilimo kwa uchumi na ipo tayari kuunga mkono jitihada za lkukikuza

"Lengo la udhamini huu ni kuona watanzania wanakuwa na uwezo wa kujitegemea kupitia kilimo na sisi tumeamua kulisimamia hili"alisema John Wanyancha, Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa SBL

Kwa upande wake Mkuu wa chuo hicho Sinani Simba, alisema ufadhili wa SBL siyo tu umesaidia wanafunzi wanaosoma Kilimo na ambao wanataoka mwenye familia zenye kipato duni, bali pia kitasaidia kuongeza wataalamu katika sejta hiyo mama kwa uchumi.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari