Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KITM wametimiza ahadi yao kwa mtoto wa kike

Friday , 17th Jun , 2022

Katika kuunga mkono kampeni ya Namthamini na kuhakikisha mtoto wa kike hakosi masomo kwa kukosa taulo za kike, wadau wetu chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) leo walituletea mchango wa taulo za kike pakiti 128.

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.

Ahmed Mbezi ambaye ni Mkuu wa chuo hicho amesema wametoa mchango huo ili kutimiza ahadi yao waliyoitoa kupitia kipindi cha DADAZ kwamba watahakikisha wanachangia katika kampeni ya Namthamini ili kuweza kuwasaidia watoto wa kike kubaki shuleni kipindi wakiwa kwenye siku zao za hedhi.

 

Mchango wa pakiti 128 za taulo za kike walizotoa zitaweza kuwasaidia wanafunzi 13 kwa mwaka mzima.

Kwa upande wake Dorotea Tobias ambaye ni Mkutubi amesema watoto wa kike wana thamani kubwa katika nchi na ni wakina Samia wengine, ndiyo maana wao kama chuo wameguswa na kampeni hii na kuchangia.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi