Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Onana na Mkhitaryan watua Milan

Friday , 1st Jul , 2022

Baada kufanikiwa kuwanasa Romelu Lukaku na Kristjan Asllani kwa mkopo kutoka Chelsea na Empoli, klabu ya Inter Milan leo imekamilisha usajili wa mlinda mlango wa Cameroon Andre Onana toka klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi pamoja na kiungo Henrikh Mkhitaryan toka klabu ya AS Roma.

Andre Onana

Onana mwenye umri wa miaka26 amesaini mkataba wa miaka mitano na sasa anakua mrithi wa Samir Handanovic mwenye umri wa miaka 37, ambaye amedumu Inter Milan kwa muongo mmoja. Huku mchezaji wa kimataifa wa Armenia Mkhitaryan amesaini mkatawa miaka miwili kuitumikia miamba hiyo ya soka ya Italia.

Wachezaji hao wamewasili jijini Milan wakiwa wachezaji huru baada ya kandarasi zao na timu zao za awali kumalizika.

(Henrikh Mkhitaryan)

Wawili hao wameorodheshwa katika wachezaji waliuokamilisha uhamisho wao kwenye tovuti ya ligi kuu ya Italia ‘Serie A’  na kufanya mikataba hiyo kuwa rasmi hata kama Inter haijatangaza rasmi kuwasili kwao.

Pia Milan wameripotiwa kuwepo kwenye mazungumzo ya kumleta Paulo Dybala ambaye naye ni mchezaji huru akitokea Juventus baada ya kukataa kuongeza mkataba na klabu hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji