Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwaitenda azindua ilani ya miaka 8 Yanga

Wednesday , 6th Jul , 2022

Kampeni za uchaguzi wa klabu ya Yanga zimeingia siku ya tatu leo na kushuhudia mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais Suma Mwaitenda akizindua ilani yake ya miaka 8 na kuomba kura kwa wanachama wa klabu ya yanga kwenye makao makuu ya klabu hiyo Jangwani.

Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais Suma Mwaitenda

Mwaitenda ametaja vipaumbele vyake kuwa atahakikisha kuwa na utawala bora pamoja na kuboresha uwanja wa Kaunda sambamba na kuhakikisha timu za vijana pamoja na wanawake zinakuwa na mafanikio makubwa .

"Kwa kuwa nina utaalamu na ujenzi jengo letu linavyumba vizuri ambavyo nikiviboresha tunaweza kuweka kambi ya wachezaji wetu ili tuepushe gharama za kukodi hoteli kwa ajili ya kambi’’ amesema Mwaitenda

Aidha Mwaitenda amesema haumizwi na kitendo cha mgombea pekee wa nafasi ya Urais Eng Hersi Saidi kuongozana na kumnadi mpinzani wake kwenye nafasi ya makamu wa rais ingawaje binafsi yupo tayari kufanya kazi na mtu yoyote iwapo watachaguliwa na wanachama wa klabu ya Yanga.

Yanga inatarajiwa kufanya uchaguzi wake mkuu mnamo Julai 9, 2022 katika ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam kupata viongozi watakaoongaza klabu hiyo kwa kipindi cha miaka 4 ijayo.

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross