Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba jitu zima lahukumiwa miaka 30 jela kwa kubaka

Monday , 25th Jul , 2022

Marwa Nyamuhanga (33) mkazi wa Nyabisare Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka saba.

Marwa Nyamuhanga, aliyehukumiwa miaka 30 jela

Akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma, Hakimu Mkazi Mwandamizi Stanley Mwakihaba, Mwendeshesha mashtaka mwanadamizi wa serikali Monica Hokororo, amesema mshtakiwa huyo anakabiliwa na kesi ya jinai no 7 ya mwaka 2022 ikiwa ni kinyume na kifungu cha Sheria no.130 (1),2 (e) na kifungu cha 131 (1) cha kanuni ya adhabu kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2019.

Hokororo amesema mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo mnamo Desemba7, 2021, katika eneo la Nyabisare ambapo mtuhumiwa alimwita mtoto huyo na kumpatia shilingi 500 na kumtuma akamnunulie maandazi na kisha kumwingiza katika pagala la nyumba na kuanza kumtendea unyama huo ambapo alitimiza adhima yake ya ubakaji.

Mwendesha mashitaka ameendelea kuambia Mahakama hiyo kuwa mshtakiwa huyo wakati akiendelea kumbaka mtoto huyo mtoto alikuwa akipiga kelele za kuomba msaada ndipo dada wa muathiriwa na mama yake walifika eneo la tukio na kumkuta kijana huyo Marwa akiwa anatenda tendo hilo la ubakaji.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mwandamizi Stanley Mwakihaba, amesema Mahakama hiyo imethibitisha pasi kuacha shaka ya aina yoyote kwa mshtakiwa huyo kuwa ametenda kosa hilo la ubakaji.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala