Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Nape mgeni rasm pambano la Kidunda Songea

Tuesday , 26th Jul , 2022

Waziri wa Habari na Teknolojia Nape Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika pambano la Pay Back Night Songea linalotarajia kupigwa Julai 30, mwaka huu kwenye Uwanja wa Majimaji uliopo mjini hapa.

Waziri wa Habari na Teknolojia Nape Nnauye

katika pambano hilo ambalo Mtanzania, Seleman Kidunda atapanda ulingoni kuwania mkanda wa ubingwa wa Dunia wa WBF dhidi ya  Tshimanga Katompa kutoka DR Congo.

Promota wa pambano hilo kutoka Peak Time Media, Meja Seleman Semunyu ameweka wazi kwa kusema kuwa tayari wameshapata baraka za mkoa kutoka kwa mkuu wa mko wa Ruvuma, Brigedia Jenerali, Balozi Wilbert Ibuge kuelekea kwa pambano hilo ambalo mgeni wake rasmi wanatarajia kuwa ni Waziri wa Habari na Teknoloaji, Nape Nnauye.

“Pambano hili limepata baraka za kimkoa, niwaambie sasa Watanzania na wadau wa masumbwi kwamba tupo tayari kwa ajili ya pambano hapa, ulingo umeshafika na niwaambie mgeni rasmi siku ya pambano atakuwa ni waziri Nape Nnauye,” amesema  Semunyu.

 Lakini kwa upande wa mkoa wa mkoa, Brigedia Jenerali, Balozi, Wilbert Ibuge alisema kuwa ni heshima kubwa kwa bondia huyo kwa kuwa jeshi la wananchi halijawahi kushindwa huku akiwatakia heri mabondia wote watakaopanda ulingoni siku hiyo pamoja na kuwaomba wakazi wa mkoani hapa kujitokeza kwa wingi siku hiyo.

Hata hivyo Kidunda alipata nafasi ya kukutana na Brigedia Jenarali CP Feruzi ambaye  kamanda wa brigedi  Kanda ya Kusini wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania alisema kuwa ni heshima kubwa kwa mchezo huo kupelekwa mkoa humo kwa kuwa ana zaidi ya miaka minne hajawahi kushuhdia mchezo ukifanya mkoani hapa ambapo amewatakia ushindi mabondia wote  wakiwemo wa jeshi watakaopanda ulingoni kwenye pambano hilo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa