Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji EPL waweka kiwango cha kupiga goti

Wednesday , 3rd Aug , 2022

Wachezaji wa vilabu vya ligi kuu ya Uingereza wamekubaliana kusitisha rasmi ishara ya kupinga ubaguzi wa rangi kwa kupiga goti katika kila mchezo wa ligi hiyo kuanzia msimu mpya utakao anza ijumaa wiki hii.

Erling Haaland wa Manchester City na Trent Alexander-Arnold wa Liverpool wakiwa wamepiga goti kabla ya mchezo wa ngao ya jamii.

Manahodha wa vilabu hivyo wamefikia uamuzi huo baada ya kushauriana na wachezaji wenzao, na kusema ishara hiyo haina ulazima sana baada ya vitendo vya ubaguzi kupungua, na badala yake sasa ishara hiyo itafanyika katika kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine kama vile hatua ya robo fainali, nusu fainali na fainali katika mashindano ya michezo mbalimbali.

Hivyo wachezaji na wafanyakazi wa viwanjani pia watapiga goti kabla ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa ligi na michezo ya mwisho wa msimu 2022-23. Ishara hiyo ilifanyika kabla ya mchezo wa ngao ya jamii kati ya Liverpool na Manchester City Jumamosi iliyopita.

Vilabu vya ligi kuu ya Uingereza vilianza kupiga goti kuunga mkono vuguvugu la Black Lives Matter ambalo lilipata umaarufu kufuatia kifo cha George Floyd nchini Marekani mwezi Mei 2020.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi