Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapokea bilioni 23.7 kutoka Ujerumani 

Monday , 8th Aug , 2022

Serikali ya Tanzania imesaini makubaliano ya shilingi bilioni 23.7 ya ushirikiano na serikali ya shirikisho la Ujerumani kwa ajili ya kudhibiti uharibifu wa wanyamapori na vifo vinavyosababishwa na wanyamapori kama Tembo katika jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi.

Kushoto ni Balozi wa Ujerumani nchini Regina Hess na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Emmanuel Tutuba

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Emmanuel Tutuba,  amesaini mkataba wa ushirikiano na serikali ya Ujerumani ambapo bilioni 14.2 ni kwa ajili ya mradi wa kukabiliana na mwingiliano wa wanyamapori na binadamu, na bilioni 7.1  ni za kusaidia upatikanaji wa haki kwa wanawake na watoto, huku bilioni 2.4 zikielekezwa katika utafiti na maandiko.

"Baada ya kuhifadhi wanayama wetu tunaona wameongezeka na kuvamia wananchi na mashamba ya jamii zinazozunguka maeneo ya hifadhi zetu, sasa sekta ya utalii katika mradi huu imeepewa zaidi ya bilioni 6 ambazo zitaenda kusaidia kukabiliana na athari za mwingiliano wa wanyamapori na binadamu," amesema  Dkt Tutuba 

Akizungumza kwa niaba ya serikali ya shirikisho la Ujerumani, Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania amesema kwamba baada ya  kushirikiana katika miradi ya maji na afya, sasa wanakwenda kusaidia jamii zinazozunguka hifadhi huku viongozi wa Wizara ya maliasili na Utalii pamoja na Katiba na Sheria wakiahidi kusimamia matumizi sahihi ya fedha hizo.
 

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross