Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utatuzi wa mgogoro wa Kitulo kuwa shirikishi

Tuesday , 9th Aug , 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amemuhakikishia Rais wa wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kutekeleza maagizo aliyoyatoa ya kuhakikisha migogoro ya mipaka baina ya wananchi na Hifadhi za Taifa inatatuliwa haraka

Waziri Balozi Dkt. Pindi Chana ameyasema hayo, Wilayani Makete mara baada ya . Rais Samia kutaka kujua hali ya mgogoro wa mpaka kati ya Hifadhi ya Kitulo na wananchi wanaopakana na hifadhi hiyo.

Aidha, ameeleza kuwa licha ya kazi kubwa inayoendelea kufanywa na kamati  inayojumuisha Mawaziri 8 ya kutatua  migogoro, Wizara anayoiongoza ipo katika hatua nzuri ya kutafuta ufumbuzi wa kudumu ikiwashirikisha Wananchi na Serikali ya Wilaya.


Waziri Balozi Dkt. Chana ametoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanazingatia na kuheshimu makubaliano na mipaka  iliyowekwa ili kuepuka kuibua migogoro mipya inayodhoofisha shughuli za uhifadhi wa Rasilimali adhimu za Urithi wa Utalii.
Rais Samia Suluhu Hassan yupo mkoani Njombe kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili ambapo moja ya mambo aliyoyafanya ni pamoja na kufungua Barabara ya Makete Njombe.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi