Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama afukuzwa nyumbani baada ya kupata mpenzi

Monday , 15th Aug , 2022

Mwanamke aitwaye Faustina Kimamba, mkazi wa Kijiji Cha Mapili wilayani Mlele mkoani Katavi ambaye ni mjane amefukuzwa na watoto wake kwenye nyumba na mashamba waliyotafuta na mumewe aliyefariki 2010, baada ya kuanzisha mahusiano na mtu mwingine.

Faustina Kimamba, Mama aliyefukuzwa na watoto wake

Akisimulia kisa kizima cha tukio hilo, mjane huyo amesema alishawishika kuingia kweye mahusiano kutokana na hali ya kiuchumi, watoto wadogo na mwanume huyo alikuwa akimsadia huduma mbalimbali.

Bi Faustina amesema mtoto wake wa pili kumzaa ndiye aliyemfukuza huku akimtupia maneno makali kwa kumuita Malaya.

Mjane huyo ameelezea vitisho na maonyo makali aliyoyapata toka kwa ndugu wa mme yaliyompelekea kupata hofu na kuacha kufuatilia mali hizo huku akiishia kuendelea kutaabika kimaisha.

Baada ya EATV kukinasa kisa hicho, ilimtafta Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo na kumuelezea kisa kizima bila kupepesa macho ambapo amekea vitendo hivyo na kumtaka mhanga kufika ofisini kwake mara moja ili apewe msaada wa kisheria.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi