Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamlaka ya Elimu Tanzania yachangia wanafunzi 125

Thursday , 29th Sep , 2022

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) siku ya leo wamechangia taulo za kike pakiti 1500 katika kampeni ya Namthamini ambazo zitaweza kuwasaidia wanafunzi 125 kwa mwaka mzima wakiwa shule.

Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahusiano wa IPP, Nancy Mwanyika.

TEA wamekabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye amesema wametoa mchango wao ili kuwasaidia wanafunzi wanaosoma katika mazingira magumu wasikose masomo yao shuleni wakiwa katika kipindi cha hedhi.

Kampeni ya Namthamini imejikita katika kuwasadia wanafunzi wa kike mashuleni kupata taulo za kike na kuhakikisha elimu ya hedhi salama inafika kwa wanafunzi nchini.

Pia Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye alipata nafasi ya kuongea katika kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio na kipindi cha DADAZ cha East Africa TV na kueleza namna walivyoguswa na kuamua kuchangia kampeni ya Namthamini.

Kampeni ya Namthamini ilizinduliwa Mei 27 mwaka huu, na Septemba 19 mwaka huu ilianza kugawa taulo za kike mashuleni kwa kuanzia katika mkoa wa Mtwara, ambapo shule 9 kutoka Wilaya ya Mtwara, Masasi na Nanyumbu zilipatiwa taulo za kike jumla ya pakiti 6,937 kwa wilaya zote tatu.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma