Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VodaCom yafungua dawati la watu mahitaji maalum

Monday , 3rd Oct , 2022

Wakati ulimwengu mzima ukiadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, kampuni ya Vodacom Tanzania imesema ili kuhakikisha kwamba wateja wake wote wanapata huduma stahiki imeamua kuzindua dawati maalum la huduma kwa wateja wenye mahitaji maalum ili kuweka usawa wa utoaji huduma.

Harriet Lwakatare, Mkurugenzi huduma kwa wateja Vodacom Tanzania

Harriet Lwakatare ambaye ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania, amesema Kila mwaka huwa wanasherekea wiki ya huduma kwa wateja, lakini kwa mwaka huu wanafanya hivyo chini ya kaulimbiu ya ‘tunasherekea kukuhudumia’ .

Kwa upande wake mmoja kati ya wateja wa Vodacom ambaye ni mlemavu wa miguu, Bw. Ernest Justin ameeleza namna dawati hilo maalum lilivyo mhimu kwao, na kwamba kama mtu mwenye ulemavu amefurahi sana kuona wamepewa kipaumbele na Vodacom, huku akisema kuwa walichokifanya ni zaidi ya upendo na kuyaomba makampuni mwengine nchini kuiga kilichofanywa na Vodacom. 

“kwakweli sisi hasa mimi mwenyewe kama mtu mwenye ulemavu nimefurahi sana kuona tumepewa kipaumbele na Vodacom, hiki walichokifanya ni zaidi ya upendo kwetu kwamba sasa kama mtu ni kipofu au kiziwa atahudumiwa na watu wajuzi wa lugha za alama. Na pia niyaombe makampuni mwengine nchini kuiga kilichofanywa na Vodacom. Wametuthamini sana kwa kuanzisha dawati la watu wenye mahitaji maalum" - Ernest Justin  - Mteja wa Vodacom.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala