Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi waendelea kukabiliana na wanafunzi Iran

Wednesday , 5th Oct , 2022

Wanafunzi kote Iran wameongeza maandamano kupinga vikosi vya usalama vinavyoripotiwa kuwapiga na kuwafunga macho waandamanaji katika chuo kikuu cha Iran.

Polisi na waandamanaji Iran

Polisi waliwakimbiza wanafunzi hao kwenye maegesho ya magari katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Sharif, kisha ikaripotiwa kuwapiga na kuwafumba macho. Video iliyothibitishwa na BBC inaonyesha vikosi vikiwangoja wanafunzi na kuwachukua kwa pikipiki.

Takriban watu 41 wamekufa tangu kuanza kwa maandamano hayo, wengi wao wakiwa waandamanaji lakini wakiwemo pia maafisa wa usalama wa Iran. Hii ni kwa mujibu wa idadi rasmi iliyotolewa, ingawa vyanzo vingine vinasema idadi halisi ni kubwa zaidi.

Shirika la kutetea Haki za Binadamu la Iran (IHR) lenye makao yake makuu mjini Oslo nchini Norway, limesema jana jioni kuwa idadi ya waliofariki ni angalau 57, lakini ikabaini kuwa kukatika kwa mtandao wa intaneti kunafanya iwe vigumu kuthibitisha vifo wakati maandamano hayo yanayoongozwa na wanawake yakiwa yameenea katika miji kadhaa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala