Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto za Biashara mtandaoni

Thursday , 6th Oct , 2022

Kulingana na utafiti uliofanywa na watafiti nguli nchini umebainisha kuwa zipo changamoto nyingi Kwa Watanzania ambao wameajiriwa kupitia biashara mtandao ambao wanazidi elfu kumi yaani  (Digit economy) ikiwemo ufinyu wa malipo wanayopata, uhakika na usalama Huduma,pamoja na kukosekana Kwa

Akizindua ripoti ya utafiti iliyofanywa na watafiti ya mwaka 2022 iliyopewa jina la viwango sawa vya kazi 2022 Joseph Nganga Mkurugenzi wa Ajira kutoka Ofisi ya Waziri mkuu amesema serikali itaendelea kuweka mazingira na kutumia tafiti hizo Ili kuadaa sera na taratibu ambazo zitawasaidia watumiaji wakiwemo walioajiriwa kupitia mitandao.

"ajira ya watu elfu kumi ni wengi mno na kwa taratibu za  shirika la wafanyakazi Dunia limeweka vigezo vya mtu kupata kiwango gani Cha malipo hivyo ni Muhimu sasa utafiti huu ukazingatiwa na serikali Ili walioajiriwa kupitia mtandao wakapata malipo yanayowasthili".amesema Joseph

Awali wakiwasilisha changamoto za ubora wa Ajira na huduma mitandaoni utafiti umeonesha kuwa Kuna Tatizo kubwa la mikataba,wafanyakazi hawana bima za ajali, mawasiliano mabaya,kukosekana Kwa uwajibikaji wa Moja Kwa Moja Kwa wanafanya biashara mtandao hivyo sasa kuitaka serikali kuweka sera rafiki, taratibu ambazo zitaweka mazingira mazuri Kwa biashara hiyo kuzidi kuimarika.

Utafiti huo umeonesha zipo kampuni nyingi zikiwa zimeajiri watu wengi ambao endapo serikali haitaweka usimamizi basi watoa huduma wataweza kujipangia chochote

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi