Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule 6 Njombe zilizonufaika na Namthamini

Wednesday , 26th Oct , 2022

Oktoba 17 mwaka huu kampeni ya Namthamini ilifika katika mkoa wa Njombe kwa ajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi mashuleni sambamba na kutoa elimu ya hedhi salama pamoja na kuwajengea uwezo wa kujiamini wakiwa katika kipindi cha hedhi.

Mtangazaji wa East Africa TV na Balozi wa Kampeni ya Namthamini, Najma Paul akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari Uwemba.

Shule 6 kutoka wilaya tatu za Njombe Mji, Makete na Ludewa zilifikiwa na kampeni ya Namthamini ambazo ni shule za Sekondari Iwawa, Kitulo, Mabatini, Uwemba, Mavala na Mchuchuma.

Shule ya Sekondari Iwawa na Kitulo katika wilaya ya Makete zilipatiwa taulo za kike jumla ya pakiti 1512.

Wilaya ya Njombe Mji kampeni ya Namthamini ilifika katika shule ya Sekondari Mabatini pamoja na shule ya Sekondari Uwemba.

ambapo jumla ya taulo za kike pakiti 2040 zilitolewa kwa shule zote mbili.

Wilaya ya Ludewa kampeni ya Namthamini ilifika katika shule ya Sekondari Mavala na Mchuchuma ambapo wilaya hii ilipatiwa taulo za kike pakiti 1658.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi