Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanza kugawa mbegu za alizeti za ruzuku

Tuesday , 29th Nov , 2022

Serikali kupitia wakala wa usambazji mbegu nchini ASA inatarajia kusambaza mbegu za alizeti za ruzuku jumla ya tani 2500 nchini nzima, ikiwa na lengo la kutoa ahueni kwa wakulima, ili kulima zao hilo kwa wingi huku wakulima wakitolewa hofu juu ya ubora wa aina ya mbegu zilizopo sasa

Katika msimu huu wa kilimo wa 2022/2023 wakulima wa zao la alizeti watanufaika kwa kupata mbegu hizo za ruzuku, ikiwa ni mkakati wa serikali katika kukuza Zaidi zao hilo la alizeti, Dkt. Sophia Kashenge mtendaji mkuu wa wakala wa mbegu nchini ASA hapa anabainisha mkakati wa serikali katika kufikia malengo

Kupitia mbegu hizo halmashauri ya Itigi mkoani Singida imepokea shehena ya mbegu hizo zitakazosambazwa kwa wakulima kama anavyosema afisa kilimo, mifugo na uvuvi wa halmashauri hiyo

Kwa upande wao wakulima wameonesha kuwa na Imani katika mpango huo wa mbegu za rukuzu katika kukabiliana na tatizo la uhaba wa Mafuta ya kula.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa