Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chama cha judo wapatiwa ofisi na Serikali Dsm

Thursday , 1st Dec , 2022

Serikali imepongeza Chama cha Mchezo wa Judo nchini kwa utendaji bora ambao ndani ya muda mfupi kimefanya mabadiliko makubwa ya utendaji ambapo imeahidi mchezo huo kupatiwa vyumba vya kuchezea katika viwanja vya michezo nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Said Yakub wakati akizungumza ofisini kwake Mtumba Dodoma na Rais wa Mchezo wa Judo Nchini ndugu Zaidi Hamisi.

“Mmeainisha mambo mengi ya muda mfupi na ya muda mrefu, jambo la msingi chama cha Judo lazima kiwe taasisi kamili, yenye mipango ya muda mrefu, muwe na mpango mkakati wa miaka mitano, muwe na kituo cha mafunzo, hapo litakuwa eneo ambalo mafunzo ya mchezo huo yatafanyika" amesema Said Yakubu.

Naibu Katibu Mkuu Yakubu amesema, Serikali itaratibu ufundishaji wa Judo shuleni kwa ushirikiano na wizara zinazosimamia shule, huku akimshukuru Rais wa Shirikisho la Judo Ulimwenguni Ndugu Marlus Vizer kwa kutoa msaada wake kwa michezo huo na kusema wamemualika aje Tanzania kukutana na viongozi wa mchezo huo nchini.

Kwa upande wake Rais wa Mchezo wa huo, Ndugu Hamisi amepokea pongezi hizo na kusema kuwa, Tanzania itapokea jozi 50 ya nguo za mchezo wa judo katika mashindano ya kimataifa, jozi 100 za nguo za mafunzo ya mchezo huo na pia jozi 200 za nguo za mazoezi kwa ajili ya wanafunzi na pia Tanzania itapata nafasi ya kusomeshewa walimu wa mchezo huo kwa ngazi ya shahada.

Judo ni mchezo wenye asili ya Japan huku ukichezwa sana katika mataifa ya Bara Ulaya ikiwamo Ufaransa.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi