Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi kimala kuchangia huduma ya maji

Friday , 2nd Dec , 2022

Mkurugenzi wa usambazaji maji safi na usafi wa mazingira kutoka Wizara ya Maji CPA. Joyce Msiru amewaasa wananchi wa Kimala Wilayani Kilolo Iringa kutunza miundombinu ya miradi ya maji na kuepuka uharibifu wa mazingira na kuhakikisha wanatunza vyanzo vya maji ili miradi inayojengwa iweze k

Msiru aliyasema hayo katika kijiji cha Kimala wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, alipoungana na timu ya wataalamu wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (Ruwasa).

Kwa upande wao wananchi wa Kimala wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema, tatizo la maji katika kijiji cha Kimala kilichopo mpakani mwa Mikoa ya Iringa na Morogoro ni la miaka mingi na lime sababisha wakazi wa kijiji hicho kutumia muda mwingi kutafuta maji kwa matumizi ya kila siku badala ya kufanya kazi nyingine za uzalishaji mali.

Ruwasa inaendelea kuwekeza fedha na kujenga miradi ya maji ili huduma hiyo iweze kuwafikia wananchi wengi katika vijiji mbalimbali hapa nchini. Mradi wa maji wa Kimala umeshaanza kutoa huduma ya maji ingawa bado upo asilimia 75 ya utekelezaji. Utakapokamilika utagharimu
shilingi 561,490,794.38.

Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA Mhandisi Kivegalo amesema ni wajibu wa wakala wa maji kumaliza tatizo la maji kwa wananchi na imejipanga kufikia lengo hilo kwa kutekeleza miradi ya maji kwenye meneo yasiyokuwa na huduma hiyo.

Pia Kivegalo amewataka wananchi wa kijiji hicho na vingine ambavyo RUWASA inatekeleza ujenzi wa miradi ya maji kuchangia gharama za maji ili huduma hiyo iwe endelevu badala ya kurudi walikotoka kutumia vyanzo visivyo rasmi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi