
Akizunguza katika hafra ya makabidhaino ya vifaa vya tehama Jaji mfawidhi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Kigoma Lameck Mlacha amesema upatikanaji wa vifaa hivyo ni hatua muhimu katika kuhalakisha kumaliza mashauri mbalimbali ya jinai
Kwa upande wake afisa hifadhi mwandamizi shirika la kimataifa la kuhudumia wakimbizi mkoa wa Kigoma Peter Muriuki amesema vifaa hivyo vilivyokabidhiwa ni baada ya mahakama kuhitaji vifaa hivyo, huku baadhi ya wadau wa sheria wakieleza tija zaidi kutokana na upatikanaji wa vifaa vya tehama katika maeneo ya kazi