Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida Big Stars yaitambia Simba

Tuesday , 31st Jan , 2023

Uongozi wa klabu ya Singida Big Stars umejinasibu kupata ushindi na kuondoka na alama 3 mbele ya kikosi cha Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania unaotaraji kuchezwa Ijumaa Februari 3, 2023 kwa wanajivunia sajili za wachezaji wapya walizozifanya.

Wachezaji wa Singida Big Stars

Akiongea kwa niaba ya Uongozi wa Singida Big Stars, Afisa Habari wa klabu hiyo, Hussein Massaza ameiambia EATV kuwa, maingizo mapya yamewafanya imara zaidi hivyo wamejipanga kuondoka na alama 3.

''Hii haitakuwa mechi nyepesi. Itakuwa ni kama vita na kama nilivyosema kwamba kila mchezo una mipango yake na muda ukifika tutajipanga kwa mechi hiyo. Kwani lengo letu ni kuhakikisha tunashinda kushinda kila mchezo kwa kuwa huku hakutafutwi alama bali ushindi,” Amesema Massaza

Kwa upande wa wachezaji, kiungo wa timu hiyo, Kelvin Nashon amesema wachezaji wote wapo salama na wana morali kubwa ya kutaka kucheza mchezo huo na kuibuka na ushindi mbele ya mnyama Simba SC.

Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa duru la kwanza Ligi Kuu NBC Tanzania Novemba 9, 2022 ambapo walitoka sare 1-1. Singida Big Stars ipo nafasi ya 4 na alama 43 ilhali Simba SC ipo nafasi ya 2 ikiwa na alama 50 na kinara Yanga alama 56.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ