Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku
Msukuma ametoa kauli hiyo jijini Mwanza kwenye maadhimisho ya miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi na kuwataka Wakuu hao wa wilaya wadhibiti wakulima na wale wanaoleta mazao kuuzwa sokoni wasipandishe bei.
"Mfumuko wa bei unaitesa Tanzania, tunanunua mchele 3500 ukiwauliza watu wanakuambia Covid mara Ukraine, wakuu wa wilaya mpo rekebisheni hizi bei," amesema Msukuma






