Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coca Cola Kwanza yawezesha mitaji wanawake 300

Monday , 27th Mar , 2023

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo WAMA Mama Salma Kikwete amewataka makampuni mengine kuiga mfano wa Kampuni ya Coca cola kwanza ambayo imefanya kwa wajasiriamali zaidi ya 300 kuwapa vifaa vya kuinua biashara zao ikiwemo mitungi ya gesi.

Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete na Mdau wa Maendeleo ya Wanawake ametoa rai hizo kwenye hafla iliyoandaliwa na Kampuni ya Cocacola Kwanza kwa ajili ya kuwakabidhi wanawake wajasiriamali Majiko na mitungi ya gesi 100 ikiwa ni ajenda ya kampuni hiyo kuwajengea uwezo wa kiuchumi wajasiriamali nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza Bw. Unguu Sulay akizungumza kwenye hafla hiyo alisema ajenda hiyo imeungwa mkono na wadau mbalimbali ikiwemo kampuni ya ORXY Gases ambayo imetoa majiko waliyokabidhiwa akina mama hao pamoja Taasisi ya Ustawi wa Jamii ambayo imetoa elimu kwa wajasiriamali hao kujitambua na kuepuka msongo wa mawazo, kutunza vitabu vya kumbukumbu ya mahesabu na huduma kwa wateja.

Hafla hiyo ilianza kwa wajasiriamali hao kuhudhuria darasa la mafunzo ambapo baadhi yao wakaeleza manufaa waliyopata
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala