Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yarejesha mafuta yaliyoibiwa kwa mkandarasi

Tuesday , 28th Mar , 2023

Jeshi la  Polisi Mkoa wa Ruvuma limekabidhi jumla ya lita 630 kwa uongozi wa kampuni ya  CHINA RAILWAY GROUP  inayojihusisha na mradi wa ujenzi wa barabara  ya kiwango cha lami ya Amanimakolo - Ruanda ambayo  yalikamatwa yakiwa yanasafirishwa.

Baada ya kuibiwa yalisafirishwa kutoka katika mradi huo kwa nia  ya kwenda kuyauzwa. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma  ACP- Marco  G. Chilya   amesema kuwa  mafuta  hayo yalikamatwa, ambapo watuhumiwa walipelekwa mahakamani ambapo baada ya kesi hiyo kumalizika kwa mtuhumiwa kupata adhabu ya kifungo, mahakama  iliamuru mafuta hayo yarudishwe kwenye uongozi wa unaosimamia mradi ili waweze kuyatumia katika ujenzi huo unaoendelea katika kijiji hicho cha Amanimakolo.

 

Pamoja na hilo Kamanda Chilya ameendelea kutoa onyo kali kwa wale wote  wanaoendelea kujihusisha na uhalifu wa wa kuhujumu mradi huo waache mara moja kwani Jeshi la Polisi Mkoa Ruvuma litahakikisha linawasaka, kuwakamata pamoja na kuwafikisha mahakamani  kama ilivyokuwa kwa wahalifu wengine. 

 

Jeshi hilo limewahakikishia Raia hao wa kigeni kuwa linaendelea kufanya Misako, doria na Operesheni mbalimbali kuhakikisha maeneo yote ya Mkoa yanakuwa salama ikiwa pamoja na eneo lao la Ujenzi wa barabara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto