Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yarejesha mafuta yaliyoibiwa kwa mkandarasi

Tuesday , 28th Mar , 2023

Jeshi la  Polisi Mkoa wa Ruvuma limekabidhi jumla ya lita 630 kwa uongozi wa kampuni ya  CHINA RAILWAY GROUP  inayojihusisha na mradi wa ujenzi wa barabara  ya kiwango cha lami ya Amanimakolo - Ruanda ambayo  yalikamatwa yakiwa yanasafirishwa.

Baada ya kuibiwa yalisafirishwa kutoka katika mradi huo kwa nia  ya kwenda kuyauzwa. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma  ACP- Marco  G. Chilya   amesema kuwa  mafuta  hayo yalikamatwa, ambapo watuhumiwa walipelekwa mahakamani ambapo baada ya kesi hiyo kumalizika kwa mtuhumiwa kupata adhabu ya kifungo, mahakama  iliamuru mafuta hayo yarudishwe kwenye uongozi wa unaosimamia mradi ili waweze kuyatumia katika ujenzi huo unaoendelea katika kijiji hicho cha Amanimakolo.

 

Pamoja na hilo Kamanda Chilya ameendelea kutoa onyo kali kwa wale wote  wanaoendelea kujihusisha na uhalifu wa wa kuhujumu mradi huo waache mara moja kwani Jeshi la Polisi Mkoa Ruvuma litahakikisha linawasaka, kuwakamata pamoja na kuwafikisha mahakamani  kama ilivyokuwa kwa wahalifu wengine. 

 

Jeshi hilo limewahakikishia Raia hao wa kigeni kuwa linaendelea kufanya Misako, doria na Operesheni mbalimbali kuhakikisha maeneo yote ya Mkoa yanakuwa salama ikiwa pamoja na eneo lao la Ujenzi wa barabara.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala