Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ghana yapata kigugumizi sheria ya kupinga ushoga

Tuesday , 28th Mar , 2023

Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo jumatatu alisema mswada wa kupinga ushoga unaojadiliwa bungeni umebadilishwa kufuatia serikali yake kuingilia kati.

Akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, Bw Akufo-Addo alisema mswada huo sio sera rasmi ya serikali bali umewekwa na wanachama wachache wa kibinafsi.

Alisema mwanasheria mkuu aliwasilisha maoni kwa kamati ya bunge kuhusu "katiba au vinginevyo vya vifungu vyake kadhaa".

"Uelewa wangu... ni kwamba vipengele vikubwa vya muswada huo tayari vimebadilishwa kutokana na kuingilia kati kwa mwanasheria mkuu," alisema bila kutoa maelezo zaidi.

Rais Akufo-Addo alikataa kusema atafanya nini ikiwa mswada huo utapitishwa  na alitumai bunge litazingatia unyeti wa kipengele cha haki za binadamu.

Mapenzi ya jinsia moja tayari yanaadhibiwa kwa kifungo cha hadi miaka mitatu jela nchini Ghana, ambako mitazamo ya ushoga imeenea, lakini rasimu ya sheria hiyo itatoa adhabu ya kifungo cha muda mrefu.

Bw Akufo-Addo awali alizungumzia ndoa za jinsia moja, akisema kamwe haitahalalishwa wakati wa utawala wake.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ