
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara George Katabazi amesema ajali hiyo imesababishwa na kufeli breki
Amesema gari hilo lilikuwa linatoka Mjini Kibaya kuelekea barabara ya Dodoma nusu km na kuanguka eneo la darajani
Manusura wa tukio hilo ambao majina yao hayajafahamika mapema walitoweka baada ya ajali na Jeshi la Polisi linaendelea na taratibu za upelelezi.