Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi kata ya Kinzudi Ubungo walilia barabara.

Wednesday , 5th Apr , 2023

Wakazi wa kata ya kinzudi Manyema Manispaa ya Ubungo wamesema wanalazimika kulipa hadi shilingi elfu tatu kupanda boda na bajaji kwenda zilipo daladala kutokana na uharibufu wa miundo mbinu ya barabara uliopo wakibainisha kuwa hali inakuwa mbaya zaidi kipindi cha mvua kama hiki.

Kufuatia mwendelezo wa mvua zinazoendelea kunyesha EATV imefika katika kata hiyo ambayo ukitokea Africana hadi mwisho wa lami inapakanisha manispaa ya kinondoni na Ubungo,wakazi hao wameeleza namna ambavyo usafiri ni tatizo kubwa kwa wamama wajawazito na watoto ambao hawawezi kujipambania.

Uhalisia wa barabara ulivyo unawafanya baadhi ya wamiliki wa vyombo vya moto wameeleza namna ambavyo wengine hulazimika kuacha kutumia vyombo vyao kutokana na ubovu wa barabara.

Wakazi wa kinzudi wamelazimika kufikisha kilio chao cha ubovu wa barabara kwa serikali kutokana na madhila ya muda mrefu wanayopitia kwa vipindi vyote vya mwaka.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa