Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ofisi ya Serikali ya mtaa yavunjwa

Thursday , 4th May , 2023

Wakazi wa Tabata, Kata ya liwiti mtaa wa mfaume wameitaka serikali kuingilia kati mgogoro wa kuvunjwa kwa ofisi ya serikali ya mtaa wa Mfaume, na kusababisha wananchi kukosa huduma kwa muda wa wiki mbili.

Wakizungumza na EATV wamebainisha kuwa kuvunjwa kwa ofisi hiyo ya serikali ya mtaa wa mfaume usiku wa manane pasipo wananchi kushirikishwa wamesikitishwa na hatua hiyo ukizingatia ofisi hiyo ilijengwa kwa ushirikiano wa wananchi na viongozi wa eneo hilo mwaka 2011.

Pia wananchi hao wameeleza kuwa hawakubaliani na hawajaridhishwa na ofisi mpya ya serikali ya mtaa iliyojengwa na mwekezaji aliyejenga maduka katika eneo la ofisi ya zamani kabla ya kubomolewa, huku wakiwataka viongozi kuondoa baadhi ya nyaraka zilizotelekezwa nje na kuzagaa.

Nae Diwani wa Kata ya Liwiti Alice Mwangoma, ambae amekiri kuwepo kwa mgogoro huo ambapo amewataka wananchi kuendelea kuwa watulivu wakati hatua zikiendelea kuchukuliwa. 
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari