Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi washangaa CHADEMA kuzindua mradi wa maji

Monday , 22nd May , 2023

Baadhi ya wananchi wasio na vyama pamoja wale wa CCM wamelalamikia hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kanda ya Nyasa na mkoa wa Njombe kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Uliwa halmashauri ya mji wa Njombe

Wakizungumza mbele ya Uongozi wa Wakala wa maji vijijini Ruwasa wilaya ya Njombe na viongozi ngazi ya kijiji na Kata ya Iwungilo waliofika kusikiliza malalamiko hayo wanasema hawakukubaliana nani atauzindua walishangaa kuona Chadema wanauzindua pasina makubaliano ya pande zote

Wakati wananchi wakigawanyika mtendaji wa kijiji cha Uliwa Stunisius Mlowe na mwenyekiti nao wameshangazwa na kitendo hicho ambapo wanasema hawakuwa na taarifa

Kufuatia chama cha demokrasia na maendeleo kupewa heshima ya kuzindua mradi huo na baadhi ya wananchi wa kitongoji cha CANADA na Itowa, Mchungaji Peter Msigwa siku chache zilizopita wakati akizindua mradi huo alisema wananchi wamefanya jambo ambalo ilikuwa lifanywe na serikali na kisha kuchangia fedha kiasi cha lakinane.

Maofisa wa wakala wa maji na usafi wa mazingira mijini na vijijini TARURA wilaya ya Njombe wamefika kijijini hapo na kuwatoa hofu wananchi huku wakisema wanakwenda kuboresha zaidi ili unufaishe watu wengi

Kwa mujibu wa wananchi wanasema walichukua uamuzi wa kujenga mradi huo kwa ngvu zao baada ya kuona serikali imewachangisha fedha kwa miaka mingi lakini maji hayafiki.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja