Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dr Mpango azindua barabara Arusha

Tuesday , 30th May , 2023

Makamu wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameiagiza wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kukamilisha ujenzi wa Barabara yenye miundombinu korofi ya Ngaresero - Engaruka Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha yenye urefu wa Kilometa thelathini na tisa kwa kiwango cha Lami

Makamu wa Rais Dkt Mpango ametoa maagizo hayo wakati akizundua barabara ya Waso hadi Sale yenye urefu wa Kilometa 49 iliyoghalimu zaidi ya bilioni themanini na saba. Na kuitaka wizara kuzingatia zaidi maeneo yenye changamoto katika ujenzi na ukarabati huo.

 
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Geofrey kasekenya anakiri ubovu wa miundombinu duni kwenye barabara hiyo, na hapa anaeleza mpango wa Wizara. 

Kwa upande mwingine Makamu wa Rais amewasha taa katika kijiji Cha Sale kama ishara ya kukamilika Kwa mradi wa Umeme kijijini humo,mradi uliotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini REA. na hapa anatoa maelekezo kwa Wizara ya nishati. 

Nao baadhi ya wakazi wa kijiji cha Salé wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia Huduma ya nishati ya umeme kijijini humo, na kuwa kilikuwa kilio cha muda mrefu Kwa wakazi hao

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi