Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namna YouTube inavyotengeneza mamilionea

Monday , 4th Dec , 2023

Achana na hadithi za ukileta watano na hao watano wakileta wengine watano unakuwa unazalisha pesa, hizo zibaki kuwa simulizi ukitilia maanani unaweza kuumia,

 

Tuachane na hayo, siyo ya msingi sana kwa sasa kuzidi hiki ambacho Issa kiriba kutoka Maswa aliomba kufahamishwa baada ya kuona chapisho letu lililohusu namna ambavyo utaweza kutengeneza YouTube channel yako.

Baada ya kuona chapisho hilo alipenda kufahamu vigezo vya namna ambavyo ataweza kutengeneza pesa kupitia YouTube channel yake.

Hivi ni baadhi ya vigezo vya muhimu na msingi kwenye kufikia safari ya kuingiza pesa kupitia YouTube channel yako.

- Birthday zaidi ya 18 kwa maana ya umri wa miaka 18, kwani chini ya hapo basi umiliki wa YouTube channel yako utakuwa chini ya mzazi wako, kwa mujibu wa sheria za YouTube.

- Kwa miezi 12 iliyopita lazima uwe umefanikisha kufikisha idadi ya masaa 4000 ambayo watu wametumia kutazama maudhui yako.

- Lazima uwe na wafuasi (subscribers) wasiopungua  1000.

- Nchi yako inawatazamaji au watumiaji wa huduma ya YouTube.

- Umefuata vigezo na masharti vilivyowekwa na mtandao huo, ikiwa ni pamoja na kujiepusha na kutumia maudhui ya watu wengine.

- Kwa upande wa YouTube shorts pia utaanza kuhesabiwa kama waingiza pesa ikiwa utapata idadi ya watazamaji milion 3 ndani ya siku 90.

- Kujiunganisha na huduma ya ''Google AdSense'' ambayo itakuwezesha kuchagua matangazo ambayo yataonekana kwenye maudhui yako.

Kubwa na muhimu ni kuzingatia maudhui yako iwe kwenye mfumo wa ''Video'' au ''Shorts'''yawe ni yale ambayo uliyatengeneza mwenyewe epuka kurudia na kutumia maudhui ya watu wengine ikiwa kama sehemu ya kuzingatia sheria za mtandao huo. 

Nje ya YouTube wenyewe hivi  ndivyo ambavyo unaweza kutengeneza pesa kupitia YouTube channel yako.
- Matangazo: Kutokana na ubora na idadi ya watu wanaofuata maudhui yako, unaweza kupata kampuni ambayo itapendezwa kutangaza na wewe. (kuleta matangazo yao)

- Merchandise shelf: kutengeneza bidhaa nyingine zitakazo husiana moja kwa moja na chapa yako mfano vikombe vya EastAfricaTv, Mabegi ya EastAfricaTV na kuwauzia wale watazamaji wako.

- Super Chat & Super Stickers: Hii ni kwa baadhi ya wale watazamaji wako ambao wengependa jumbe zao zionekane juu zaidi pale mtu atakapokuwa akitazama video zako, na hii mtu analipia ''comment'' yake iwe ''pinned''
 

Picha: clipground.com

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala