Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Familia ya aliyelawitiwa haina ndugu anaitwa Benja

Friday , 29th Mar , 2024

Familia ya mtoto aliyefanyiwa ukatili imekanusha kuwa hawana ndugu yeyote anayeitwa Benjamin Augustino wala kwenye familia yao hakuna mtu aliyekamatwa kutokana na sakata hilo.

Bibi wa mtoto aliyelawitiwa

Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa taarifa ambazo zimeanza kuchapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mjomba wa mtoto huyo aliyetajwa kama Benjamin Augustine ambaye amekamatwa kwaajili ya mahojiano na uchunguzi kama amewahi kuhusika kumfanyia mtoto ukatili huo akiwa nyumbani. 

Akiongea na EATV asubuhi ya leo Machi 29, 2024 Bibi wa mtoto huyo amesema kwenye familia yao hakuna mtu mwenye jina la Benjamin upande wa baba wala wa mama na wao wanashangaa kuona kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna ndugu yao amekamatwa.

Aidha ameiambia EATV, mtu pekee wanayemfahamu mwenye jina la Benjamin ni mtoto ambaye alikuwa anaishi jirani na hapo ambae alikuja mwaka jana 2023 likizo ya kusubiri kuanza kidato cha kwanza baada ya kumaliza darasa la saba mkoani Mtwara.

Bibi anasema huyo Benjamin ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza mkoani Mtwara na kaka yake na Benjamin ni dereva wa bodaboda ambaye jana Machi 28, alikuwa akiwatembeza polisi kwa ajili ya kufanya uchunguzi kwa majirani kuhusu tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala