Friday , 26th Sep , 2025

Kupitia Instagram channel ya META mmiliki wa mtandao huo, Mark Zuckerberg ametoa shukrani kwa watumiaji wa mtandao wa Instagram kwa mafanikio makubwa ya ongezeko la watumiaji wake kwa mwezi.

• Watumiaji bilioni 3 kwa mwezi

• Mtandao namba 3 duniani, nyuma ya Facebook na YouTube pekee

• Thamani zaidi ya dola Bilioni 500 (sawa na trilioni 1,238 za Kitanzania)

Instagram si tena mtandao wa picha pekee, ni himaya ya kijamii na kiuchumi.