"Tuweke mikakati kupambana na ukosefu wa Chakula"

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango amesema katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa chakula duniani, nchi za bara la afrika zinaweza kufanya uwekezaji mkubwa katika kilimo na kuweza kutosheleza mahitaji ya chakula duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS