Simba yakabidhiwa milioni 50

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya SportPesa Tanzania, Tarimba Abbas, amemkabidhi Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez, hundi ya Shilingi milioni 50

Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Sportpesa imetoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa klabu ya Simba kama bonus baada ya kufanikiwa kufika robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mujibu wa mkataba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS