"Panya road wakitu-beep tutawapigia"- Naibu Waziri
Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi imewataka vijana wanaojihusisha na vikundi vya kihalifu vinavyopora na kujeruhi wananchi katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar es Salaam kutafuta kazi nyingine kwani watashughulikiwa ipasavyo.