Wakamatwa kwa kubaka na kuua Mtwara
Jeshi la polisi Mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili na mmoja bado anatafutwa na jeshi hilo kwa tuhuma za kumbaka kisha kumuua Elizabet Steven Peter (41) mkazi wa Kijiji cha Mkajamila wilaya ya Masasi Mkoani humo.