Wakamatwa kwa kubaka na kuua Mtwara

Kaimu Kamanda Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, ACP Nicodemus Katembo

Jeshi la polisi Mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili na mmoja bado anatafutwa na jeshi hilo kwa tuhuma za kumbaka  kisha kumuua  Elizabet Steven Peter  (41) mkazi wa Kijiji cha Mkajamila wilaya ya Masasi Mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS