Wataalam wa manunuzi watakiwa kuwa waadilifu

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranghe, akizungumza kabla ya kufungwa kwa kongamano la wiki ya ununuzi wa umma, iliyohusisha wadau wa ununuzi wa umma na Ugavi nchini, jijini Arusha.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela, amewataka wataalam wa ununuzi na ugavi pamoja na wadau wote wanaohusika kwenye michakato ya ununuzi kuzingatia misingi ya uadilifu wakati wote wanapotekeleza majukumu yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS