Wananchi walia ubovu wa madarasa

Sehemu ya madarasa ya shule ya msingi Yuli

Wananchi wa Kijiji cha Yuli, Kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe, wameiomba serikali kuwajengea na kuwaboreshea miundombinu ya madarasa katika shule ya msingi Yuli, kutokana na uchakavu wa madarasa uliopo shuleni hapo hali inayayoleta hofu na hatari kwa wanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS