Madiwani kugawiwa Condom
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, limeanza kugawa mipira ya kiume na ya kike (Condom) kwa madiwani wake wote, pamoja na kuwekwa mipira hiyo kwenye maeneo ya huduma za umma zikiwamo ofisi za watendaji wa kata, vijiji, zahanati na sehemu za starehe, ili kuli