Mchezaji wa Miami Heats, Bam Adebayo (Kushoto) akijaribu kumhadaa James Harden wa Philadephia 76ers katika mchezo wa leo ulioisha kwa Heats kushinda kwa alama 119-103
Hali imezidi kuwa mbaya kwa Philadelphia 76ers baada ya kupoteza mchezo wa pili wa nusu fainali kanda ya mashariki dhidi ya Miami Heats kwa kupoteza kwa alama 119-103 katika dimba la FTX Arena.