Sixers yapoteza tena kwa Miami Heats

Mchezaji wa Miami Heats, Bam Adebayo (Kushoto) akijaribu kumhadaa James Harden wa Philadephia 76ers katika mchezo wa leo ulioisha kwa Heats kushinda kwa alama 119-103

Hali imezidi kuwa mbaya kwa Philadelphia 76ers baada ya kupoteza mchezo wa pili wa nusu fainali kanda ya mashariki dhidi ya Miami Heats kwa kupoteza kwa alama 119-103 katika dimba la FTX Arena.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS