Rais apinga kiwango cha mshahara cha milioni 1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba mahesabu ya nyongeza ya kima cha mshahara yanaendelea na kukataa kile kiwango cha milioni 1 na elfu 10 kilichotajwa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA).