China yaanza mipango ya kuinua uchumi wake

Bodi ya juu ya maamuzi ya chama cha kikomunist  nchini China, imesema kuwa serikali ya nchi hiyo itachukua hatua ili kuuinua uchumi wa  nchi hiyo kutokana na tishio la janga la Uviko - 19 na vita vinavyoendelea nchini ukraine  kutishia ukuaji wa uchumi wa nchi  hiyo . 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS