Mdee na wenzake wapinga kufukuzwa CHADEMA

Baada ya Baraza Kuu la CHADEMA kuunga mkono maamuzi ya Kamati Kuu ya Chama hicho kuwavua uanachama wanachama wake 19, wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa mbunge wa Kawe Halima Mdee wameonesha kupinga uamuzi huo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS